Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Waamizi wamefanyaje tenaTatizo la waamizi Tanzania linajulikana.
refa ana mahaba
Hili mbeleko la leo ni la chuma kabisa. [emoji23]Refa kapewa limbwata
hakuna timu hapo kelele nyingi, uwanjani wanaruka rukaSimba inatia aibu, yaani timu haipigi hata pasi tatu
Shida unayekutana naye. Unadhani hao Singida wakikutana na Yanga wanaweza cheza hivi? [emoji23]Azam wangecheza nusu ya uwezo walioomesha leo Singida sijui
We azam unamuweza?Azam wangecheza nusu ya uwezo walioomesha leo Singida sijui
Zima kabisa na data [emoji23][emoji23]Kama shabiki wa simba nimetoka nje kabisa hamna mpira hapa
Azam anauwezo zaidi ya ule? Masikhara hayaAzam wangecheza nusu ya uwezo walioomesha leo Singida sijui