Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakutana nae mshindi wa 3 acheze nusu ya singidaAzam wangecheza nusu ya uwezo walioomesha leo Singida sijui
Hii sio kawaida mkuu 😅😅Hili mbeleko la leo ni la chuma kabisa. [emoji23]
The wall of JerichoChe Malone doing his job
labda ziwepo red 3Hii mechi inavyoonekana ngumu utafikiri atutashinda tano
Bado hatujasema [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Simba tunapoteana, sana
Unatype huku unaogopa 😅Hii mechi inavyoonekana ngumu utafikiri atutashinda tano
Mahaba hayajaanza leo duniani hata Yusufu alimpenda Maria ila akashindwa kumpa ujauzitorefa ana mahaba
Bado hujasema.Sijaona sababu ya kumuweka nje Ngoma
Inonga alikua analindwa na Onyango sahivi ndo utajua udhaifu wakeleo inonga anachomesha
Kama ni kweli refa amekula hela, basi ataiponza robo robo fc, maana tarehe 13 watabatizwa kwa moto.Huyu Refa kala hela za watu