FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Hawa Singida wanamtafutia sababu refa aonekane anatubeba
 
Siyo kibu, si saidoo, si onana wala baleke wa kumuweka phiri nje, wapo waliomkaribia karibia kwamba phiri akiwa majeruhi ama kukosekana wakacheza, lakini sio phiri mzima halafu eti wao waanze.
 
Siyo kibu, si saidoo, si onana wala baleke wa kumuweka phiri nje, wapo waliomkaribia karibia kwamba phiri akiwa majeruhi ama kukosekana wakacheza, lakini sio phiri mzima halafu eti wao waanze.
😀😀😀Watakuja hapa wenye timu yao
 
Kwa tunaojuwa mpira, Singida hawana uwezo wa kupata matokeo kwa Simba mpaka dakika hii ninavyoangalia game.

Yanga tuwasubili hawa mbumbumbu kuwafunza adabu.

Hapo Singida sioni timu.
 
Mtani inabidi ubadili plan, tofauti na hapo hali ni ngumu
 
Kwa tunaojuwa mpira, Singida hawana uwezo wa kupata matokeo kwa Simba mpaka dakika hii ninavyoangalia game.

Yanga tuwasubili hawa mbumbumbu kuwafunza adabu.

Hapo Singida sioni timu.
Mambo hua hayapo kama unavoyaona subiri DK 90
 
Back
Top Bottom