FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

🤣🤣🤣 kibu D, dah kummke walai, mungu akiamua kukupa utapata tu, huyu kibu kwa akili ya mpira haniwezi, nikifanya matizi miezi mi3 mfululizo, nalala kwa wakati, napiga pumbu za kiaste aste 🤣 huyu kibu anaweza kufukuzwa.

Kibu nguvu kulukundu.. nguvu nyingi kuliko akili.
 
Back
Top Bottom