SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
omba tukutane na refa awe huyu huyu ndo utajua yanga ni nanHakuna cha maana mlichocheza jana, mlikutana pwagu na pwaguzi
Refa ana mahaba 😅yani mbeleko mpaka aibu. [emoji23]
Amina Kiando yupo vizuriRefa mechi imemshinda
Refa nawekwa huyu pumbRefa faulo za Singida hazioni [emoji3][emoji3][emoji3]
Shuntuma Ndo kitu gani hiko Aposto? [emoji1787]Refa kapewa shuntama [emoji28][emoji28]
TuliaBado hatujasema [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Acha zako weweHawa singida wangekuwa wanacheza na utopolo, wale gongowazi,chura wa jangwani, wasingekuwa wanaonekana hivi, wasingeshine kabisa.
hapana sema refa anawabeba makolo upande wa singida anaziona upande mwingine haoniRefa mechi imemshinda
DuKibuuuuuuu
Amina Kiando yupo vizuri
Hutaki sikushikii fimbo.Acha zako wewe
Kama Azam.Hawa singida wangekuwa wanacheza na utopolo, wale gongowazi,chura wa jangwani, wasingekuwa wanaonekana hivi, wasingeshine kabisa.
Wewe na singida ni nani na nani?Hakuna cha maana mlichocheza jana, mlikutana pwagu na pwaguzi
Kibu anacheza vizuriTunacheza mpira usioeleweka, Kibu anarukaruka tu uwanjani.