Hata sis anatutoa mchezoni kwa maana hatukubaliani na maamuzi yakeShindeni kwa haki na sio kwa dhuluma. Kitendo anachofanya refa kimezidi kiasi kwamba kila mtu anaona wazi wazi jambo ambalo linasababisha Singida wapaniki watoke mchezoni
Inawezekana CCM wanataka kutu keep busy wafanye yaoHapa kuna kulazkmishwa fainali iwr simba na yanga.
Huyu kocha kwa mara ya pili ananikera. Sikuwa namkubali ila leo ndo amezidi kuniboa kabisa.Huyu kocha akiikosa hii ngao, anatakiwa afukuzwe.
Team anayochezesha ni ileile ya zamani kasoro Che aliyechukua nafasi ya Onyango, inamaana kwa style hii kundi kubwa la wachezaji waliosajiliwa litaishia benchi ili viwango vyao vififie, kisha tuseme tulisajili magarasa.
Kocha asiyejua lolote la kufanya kwa Kibu, Ntiba, na Bocco atasaidia nini?
Kama inawezekana mamlaka husika wamfanyie sub chap, analeta mahaba kwenye mambo ya msingi[emoji23][emoji23][emoji23] sijui labda inawezekana
[emoji23][emoji23][emoji23] sijui labda inawezekana
Ni wewe kwel au umetania?Hata sis anatutoa mchezoni kwa maana hatukubaliani na maamuzi yake
Bocco, Ntiba, Kibu, sijui nini kinafanya huyu kocha awakubali.
Ukichanganya na lile lililokataliwa kimchongo.Hii Singida Utopolo ingekuwa imeshakufa si chini ya 2
Sauti zetu zimesikikaPhiri anajiandaa kuingia
HakikaInawezekana CCM wanataka kutu keep busy wafanye yao
Sipendezewi ndio na maamuzi ya refaNi wewe kwel au umetania?
Huyu kocha ana tatizo,kama kwa huu usajili hawezi kushinda mechi anafanya nini SimbaHuyu kocha akiikosa hii ngao, anatakiwa afukuzwe.
Team anayochezesha ni ileile ya zamani kasoro Che aliyechukua nafasi ya Onyango, inamaana kwa style hii kundi kubwa la wachezaji waliosajiliwa litaishia benchi ili viwango vyao vififie, kisha tuseme tulisajili magarasa.
Kocha asiyejua lolote la kufanya kwa Kibu, Ntiba, na Bocco atasaidia nini?