Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mie nimeamua kutoitazama hii game.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa timu hii.Hiki kikosi kwa asilimia kubwa ni kile cha msimu uliopita, kwakuwa bado hakuna muunganiko mzuri baina ya wachezaji wapya
Yani huyu akitolewa leo, kisha aendelee kuwepo hapo Simba Sc nitaamini kweli hakuna la maana viongozi wa Simba Sc wanafikiria.Miquissone nje Kibu bado anaumwaga ndani, LOBATINYO anatutafuta la undani
Kitendo ambacho Yanga kimewakeraRefa anataka tukutane fainali
Kwa mpira huu hakuna faidaHivi nani anaweza kunipa faida ya timu kwenda uturuki? Simba msimu Huu asipoangalia hapati kitu.
Na ile Azam ya jana ingekuwa anacheza na Simba tayari mshaukalia.Hii Singida Utopolo ingekuwa imeshakufa si chini ya 2
We ulitaka aone nani?Aibu naona mimi
Phiri akifunga goli huyu kocha arukishwe kichuraSauti zetu zimesikika
Ataingia kwenye kundi la Okarah huyu, hii ndio shida ya wachezaji wa magharibi, muda wote wao wanatafuta kuonekana bora kuliko wenzao.Onana mbinafsi saaaaana. Anataka umaarufu. Huu sio mchezo tunaoupenda wana Simba.