SMARTER GHOST
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 298
- 1,258
Wale wababe wako wakikutana na sisi kwenye chochoro, wanaimba "honey" kwa kubana pua kama Zuchu!Na lile timu la jana bovu vile mlikutana na waoka mikate waliojichokea
Singida ni bora kuliko Azam msimu huuKama singida akitaka kukuua
Unatoa wapi jeuri
Ngoja tuwape tiketi ya Robertinho
Hapa naweza kupigwa mawe inabidi niifute hii kabla hawajastukiaMungu kasikia dua zao
Si umeoma kosi jipya hilo mzeeMsimu uliopita ilishindikana nini?
Tulizungumze sahivi au tusubiri kwanza tufurahie ushindi?Hakuna kitu humo.
Tuupe muda nafasi utopoloWale wababe wako wakikutana na sisi kwenye chochoro, wanaimba "honey" kwa kubana pua kama Zuchu!
Jumapili zamu yako. Mtauanza msimu kwa masimango sana!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂Tulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮
Hapo vipi Mkuu?Mungu asaidie mana simba tuna gundu na penat. Na kakolanya yupo vzr
Kwa namna ya kushindwa kutafsiri sheriaKwa kuwabeba au kwa kuwanyonga?
Nawashukuru singida kwa kutuachia my wetu
Simba na TANGA?