FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Kifupi nashangaa sana mashabiki wa simba sijui wanajivuniaga nini na li timu hovyo la karne kama simba...kifupi naiona kama paka shume tu...simba inalidhalilisha sana jina la simba mnyama wa porini, hii simba naichukia vizuri mno yaani
Kupenda vyura inatosha achana na simba huwawezi
 
Fanyeni makusudi mfungwe leo mtuachie huyo kolo tumuonyeshi kuwa Uturuki alikwenda kuchumbiwa tu.

Fanyeni makusudi hata ya kumpiga ngumi refa
Mara hii umeshamsahau kib diiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…