Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Tajiri aheshimiwe Mo ndie anaisaidia Simba mpka apa ilipoMimi kama mwana Simba lia lia nataka tufungwe tu kwanza tajiri anatusimanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri aheshimiwe Mo ndie anaisaidia Simba mpka apa ilipoMimi kama mwana Simba lia lia nataka tufungwe tu kwanza tajiri anatusimanga
Tajiri aheshimiwe Mo ndie anaisaidia Simba mpka apa ilipoMimi kama mwana Simba lia lia nataka tufungwe tu kwanza tajiri anatusimanga
Kibu ndani ya nyumba
Ngoma au kibu D?
Uto kunyweni panadol kabisa maana pira litakalo pigwa hapo linatisha
Nje vyuma ndani vyuma,hakuna pa kukimbilia
Kikosi kizuri naomba tu leo Saido awe na wakati mzuri maana Chama leo hayupo.
Kibu ni ngushi aliyechangamkaKikosi kizuri naomba tu leo Saido awe na wakati mzuri maana Chama leo hayupo.
Kibu ajitahidi asimuangushe kocha lazima aoneshe sababu kwanini anaaminiwa na kocha.
Kunywa panadol acha keleleLeo mkipigwa mtaanza kulie tena kwanini kocha kamuweka chama na phir nje [emoji28][emoji28]
Ngushi jana ni kama alikuwa anacheza kwenye kiwanja chake tofauti na wenzake.Kibu ni ngushi aliyechangamka