Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua kala mjani ukamkataaNgushi jana ni kama alikuwa anacheza kwenye kiwanja chake tofauti na wenzake.
Kila dakika jamaa anaanguka
Matuta
Nguvu za kuichukia Simba hamishia kwenye timu yako unayoipenda uta enjoy lifeKifupi nashangaa sana mashabiki wa simba sijui wanajivuniaga nini na li timu hovyo la karne kama simba...kifupi naiona kama paka shume tu...simba inalidhalilisha sana jina la simba mnyama wa porini, hii simba naichukia vizuri mno yaani
Matuta hayana mwenyewe ila kwa ubora wa makipa SFG wako vizuriMatuta
Boss, ukisikia mwanamke wako anasema anamchukia mtu halafu huyo mtu ni mwanaume mwenye heshima hapo mtaani kwenu utawaza nini?Kifupi nashangaa sana mashabiki wa simba sijui wanajivuniaga nini na li timu hovyo la karne kama simba...kifupi naiona kama paka shume tu...simba inalidhalilisha sana jina la simba mnyama wa porini, hii simba naichukia vizuri mno yaani
ndio akili za wanasimba hizi...we acha u kolo...simba na mwanamke wapi na wapi!? si bure leo mtavuliwa chupi na singida ..tupo hapa....mark this commentBoss, ukisikia mwanamke wako anasema anamchukia mtu halafu huyo mtu ni mwanaume mwenye heshima hapo mtaani kwenu utawaza nini?
Nitafanya petition ya simba kuamriwa mara moja kuacha kutumia jina la simba...mnamdhalilisha sana mnyama wa mwituni...muitwe paka shume fc, au mbweha sports club...shwain
Ngoja tutazame soka boss.ndio akili za wanasimba hizi...we acha u kolo...simba na mwanamke wapi na wapi!? si bure leo mtavuliwa chupi na singida ..tupo hapa....mark this comment
Matumizi mabaya ya salaKila la heri singida chama la watanzania mungu awape wepesi Leo... Goli mbili tu zinatosha hakika mungu atatusimamia tushinde singida
Hamna simba zeruzeruView attachment 2713805
Simba mwenyewe ndio uyu