black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Macho yako yanaona kama Mimi[emoji23][emoji23]Kuna uwezekano mkubwa (90%) simba akaishia nusu fainali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Macho yako yanaona kama Mimi[emoji23][emoji23]Kuna uwezekano mkubwa (90%) simba akaishia nusu fainali.
===
Greatest of all time
Leo ni Sikukuu ya Soka.
Mnyama Mkubwa Mwituni. Simba SC itakuwa ikishuka dimbani kuwakabili Singida FG FC katika dimba la Mkwakwani pale jijini Tanga.
Simba ambayo imesheheni wachezaji mafundi kama vile Onana, Baleke, Kramo, Mwalimu Fabrice Ngoma na wengineo wanatarajiwa kutoa burudani kubwa sana kwa wapenda kandanda nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla mara baada ya butua butua na piga nikupige ya jana.
Singida ambayo imefuzu kucheza kimataifa nayo imesajili wachezaji kadhaa akiwemo Kiyombo, Babu Onyango, Yahaya Mbegu na wengineo wanatarajiwa kuleta ushindani.
Ewe mwana Simba uliyepo Kasulu, Jinja, Makambako, Kisumu, Uyui, Ndola, na mahala popote tegemea mpira mkubwa leo na mechi yenye mvuto.
Mechi itapigwa Saa 1:00 Usiku na itakuwa mubashara kupitia Azam Sports 1HD
Tuwekeane dauSimba anachukua ngao sitanii
Inshaallah atanguruma huko mkwakwani.
Kisiki cha mpingo kitakutana na KONDE BOY na kitachongwa na kugeuzwa kinyago cha mpapure.Kuna timu ina wakati mgumu sana. Maana ikifanikiwa kufuzu hatua ya fainali, inakutana na kisiki cha mpingo!
Ikishindwa na kupambania mshindi wa tatu, napo itakutana na kisiki kingine cha mpingo!
Naona malengo ya waandaji yameenda tofauti kabisa na matarajio.
Bora hata ungemtaja mchezaji mwingine. Huyo Konde Boy wenu anahitaji muda ili arejee kwenye kiwango chake cha awali.Kisiki cha mpingo kitakutana na KONDE BOY na kitachongwa na kugeuzwa kinyago cha mpapure.
😝😝😝😝
Ngoma au kibu D?Bora hata ungemtaja mchezaji mwingine. Huyo Konde Boy wenu anahitaji muda ili arejee kwenye kiwango chake cha awali.
Halafu asimsahau Mkandaji Kibu DKisiki cha mpingo kitakutana na KONDE BOY na kitachongwa na kugeuzwa kinyago cha mpapure.
😝😝😝😝
MnatukimbiaKila la kheri Singida Big Stars, sisi wananchi hatuna baya na nyie shindeni tu tukakutane fainali.