Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo likibaki golini basi kila penalty itakuwa ni goli.Tulienda penalty kocha amtoe Ili garasa aliepo golini, nadhani sub zimeshaisha
Hapana.we mgonjwa
hawa singida wapuuzi tu
uwezo wa kuua nyau wanao sema wanazingua
Walikuwa wanaropoka jana wengine walipokuwa wakicheza. Leo wanachocheza wao sasa, up*mb.Mpaka hapa ni dhahiri mmejua mpira hauchezwi mdomoni.
Jina refu sana hilo, hata ungekuwa wewe usingepata muda wa kulitamka.Yuko outdated sijui kwann
Mbona hatusikii lolote kupo kimyaaa,hatujazoea hivi bhana[emoji23][emoji23]Mpaka hapa ni dhahiri mmejua mpira hauchezwi mdomoni.
Teh teh. 😂Kuna vitu vinasikitisha sana. Mpira hauendani na gharama za usajili
Hapo alipo ana presha ya kufa raia[emoji1].Naomba tufungwe lobatinyo afungashiwe virago
Tena mastaa wao kibao wapo nje. Yaani huyu Bocco huyu?Hii Simba nahisi walichukulia poa Sana singida... Au singida ni Bora??
SIMBA PALE GOLINI HAMNA KIPA ATAFUNGWA PENALTY ZOTE, MARA YA KWANZA NILIMUONA AKIFUNGWA PENALTY ZOTE MWAKA JANA KWENYE KOMBE LA MAPINDUZI ALIFUNGWA NA MLANDEGE, KULE NA WYDAD TUKIENDA PENALTY NAJUA ATAFUNGWA ZOTE.Hilo likibaki golini basi kila penalty itakuwa ni goli.
Ni kiazi huyo.SIMBA PALE GOLINI HAMNA KIPA ATAFUNGWA PENALTY ZOTE, MARA YA KWANZA NILIMUONA AKIFUNGWA PENALTY ZOTE MWAKA JANA KWENYE KOMBE LA MAPINDUZI ALIFUNGWA NA MLANDEGE, KULE NA WYDAD TUKIENDA PENALTY NAJUA ATAFUNGWA ZOTE.
Asiseme sasa singida big star Bora aseme Tu singidaJina refu sana hilo, hata ungekuwa wewe usingepata muda wa kulitamka.