FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Simba tuna wachezaji wazuri ila kocha hatuna!! Hii mizee ya kizungu inayozunguka uku Africa kutafuta pensheni tu!! Na sisi tunaiabudu kwelikweli! Tuna makocha wazawa wazuri wakina Mgunda ila bado tunayaamini haya madalali ya ulaya!
 
Back
Top Bottom