Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo mlikuwa mnaomba sana msikutane na sisi ee? Sasa andaen via vyenu vya uzazi.. tunakuja kuwaingilia kimwili.Walikua wanakupiga wewe hio miwa
Sawa, njoeni jumapili tuwatie mimba chapchap. Kuzaa na sisi sio shida, shida ni mchakato mgumu utakaoupitia mpaka unazaa!Yaani nyie Utopolo msimu huu tunazaa na nyinyi. Tunaanza nanyi kwenye fainali ya ngao ya jamii
For nowMalalamiko na Matusi postponed..
Tulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮Bana eh tusipangiane kila mtu na utongozaji wake
Wasouth kwenye suala la kujiamini wako mbele sana! Sisi wamatumbi bado hatujiamini kwa lolote! Tunawaabudu hawa ngozi nyeupe kama nini!! Tukiwaona wazungu na waarabu tunatetemeka kama tumeona Yesu na mtume Muhammed!!Wasouth pekee ndio wamefanikiwa kutoka kwenye mawazo ya kuamini zaidi wageni, karibia team zote kubwa pale South zipo mikononi mwa Wazawa.
Kwani msimu uliopita ulianza na nani au ulikuwa huko Mchambawima?Yaani nyie Utopolo msimu huu tunazaa na nyinyi. Tunaanza nanyi kwenye fainali ya ngao ya jamii
😂😂Huu ushindi hauna ladha....
Ushindi hauna ladha wala mvuto....Simba ijipange aisee.Kila kinachoitwa kombe lazima tukibebe.
Hata wewe unayebisha ukijiita kombe tunakubeba
Hakuna timu Apo,makolo wanajifariji tu jiraniTulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮
Aaahaaaa,limekuwa kombe tena?Kila kinachoitwa kombe lazima tukibebe.
Hata wewe unayebisha ukijiita kombe tunakubeba
Simba hawaamini sio kwa hofu hiyo iliyowakumbaTulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮
Kama singida akitaka kukuuaYaani nyie Utopolo msimu huu tunazaa na nyinyi. Tunaanza nanyi kwenye fainali ya ngao ya jamii