FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Huyu kocha wa yanga inabidi apigwe bao ili akili ikae sawa
 
MUSONDAAAAÀAAAAA [emoji172][emoji169][emoji2957]
Kamba
 
Tunatest Tu mitambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi ni Simba lialia ika hii jezi ya Yanga ni NyoKo
 
Uwanja ni Giza kama kilinge cha wachawi [emoji3061]
 
Kama sio hila za Karia shughuli ilikuwa inamalizika leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…