Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Yanga shida imeonekana hapo mbele. Ushambuliaji.Yanga imebadilika sana kwa kweli.
Huko CAF kwa mchezo huu, wataishia mwanzoni mwanzoni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga shida imeonekana hapo mbele. Ushambuliaji.Yanga imebadilika sana kwa kweli.
Huko CAF kwa mchezo huu, wataishia mwanzoni mwanzoni tu
Pamoja na hayo walikuwa na Kikosi kizuri sanaKipindi kile walipata ganda la ndizi CAf ndo maana walifika hatua ile, safari hii ni hakuna.
Aisha Manula ndio anamfahamu vizuri huyu Mwana Mfalme.Dube amemfanya kitu mbaya Mwamnyeto
Hivi mnaangaliaje mpira aisee? For the sake of kupoteza muda au?so far nilicho ona. hapa hatuna kocha yanga, the poorest yanga in 2 years. huyu atuache tu.
hizi pasi fupi fupi since when 🚮🚮🚮
Kwa timu ile papatu papatu tuliyoiona bora ile ya kina OnyangoSioni wa kumzuia Mnyama
Mara ya mwisho umewafunga Azam lini?Sioni wa kumzuia Mnyama
Max ni mutu
Wachezaji hawapangwi kwa majina mkuu, ni kutokana na Kocha anavyoona kwenye uwanja wa mazoezi.Sidhani kama atamaliza mwezi😊😊😊nakubaliana nawe. Farid Musa and Ngushi over Aziz Ki ni disgrace of the highest order!
Unaendawapi kesho Singida anakutoaAisee kwa yanga hii mbovu tutajipigia sana
Yupo MusondaYanga inacheza vizuri mpaka sasa, pale mbele tunakosa mshambuliaji wa mwisho.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kabisa na saido kama kifungashioUyu Max uwezo wake n uwaunganishe Chama Ngoma na Miqson
Feitoto bado hajapata bao?Tulia kwenye baraza lako la Ulamaa, huku hupawezi kigagula
Unaposema "Mara ya mwisho" kwani inaanzia kuhesabiwa lini?
Basi kama ni hivyo hata kocha wa Simba asilaumiwe kwa PhiriWachezaji hawapangwi kwa majina mkuu, ni kutokana na Kocha anavyoona kwenye uwanja wa mazoezi.