Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasemaa ... yani ni mpaka usemee.Huenda ikawa hivyo uto
Aisee nitafarijika sana wakifungwa, ili wakutane tena na wababe wao Azam kwenye kutafuta mshindi wa tatu.Kesho watapigwa kama ngoma ,SFG wana vyuma hatari ambavyo simba hawawezi kuvikabili.
Nyumbu banaBaada ya mechi ya leo naambiwa msimamizi wa kombe amekutwa akiandika jina la Simba kwenye hiyo ngao.
Kwa mpira gani wa ajabu ulonao? Leta hiyo timu yako uanze malalamiko kwann Phiri hachezi.Kwa huu mpira mliocheza Leo ombeni Simba asipite ile siku itajirudia.
Daima mbele....Hii ndiyo Yanga!
Kwanza nataka tukubaliane kitu.Tukutane Fainali jomba ndo tutasemezana [emoji2957]
Kule Mtwara Azam alicheza kama alivyocheza na Yanga leo, lakini alimfunga SimbaIla Yanga wakicheza kama walivyocheza leo halafu wakakutana na Simba watakufa. Tushukuru Azam pumzi walikata
Nyie AzamFc hebu wafungeni hao Utopwinyo 2-0 ili kuleta utulivu huko Tanga. Ni mimi Greatest Of All Time, Shabiki nguli wa AzamFc kwasasa nikiwa Niamey, Niger.
Simba hii hii ya namba 6 mpya mkuu?Kule Mtwara Azam alicheza kama alivyocheza na Yanga leo, lakini alimfunga Simba
Nakusalimu bwana aposto umetususa sana upande wa simulizi 😁😁😅😅😅😅😅😅😅😅
Yani mpira wetu bado sanaaa,ndo madudu gani yale sasa?Hivi azam alikuwa anacheza nini sasa?Limepigwa pira bovu sijawahi ona .
Huwa anamkandaje Simba huyu?Yani mpira wetu bado sanaaa,ndo madudu gani yale sasa?Hivi azam alikuwa anacheza nini sasa?
Katuaibisha sana wana lunyasi tulimtegemea sanaHivi Fei Toto alikuepo uwanjani leo?
Mkuu kwenu saa ngapi muda huu?Hongera WANANCHI, mnaendelea kutuheshimisha. Fainali naiona ni Yanga vs Singida BS
Simba kesho ajiandae kisaikolojiaSingida na usajili Alio fanya msishangae anakua kama Azam