Channel namba ngapi mkuu
aingie naniOnyango Atokeee
Hizi kona tusiziendekeze sana, ni lazima tujue kuyaficha madhaifu yetu.Kona ya pili wanapiga Raja
Huyu mshika kibendera amevaa kinjunga basi mapaja nje nje
simba atapigwa kipindi cha 2 maana anatumia nguvu nyingi akili kijiko21' Raja wanapata kona hapa baada ya shambulizi kali
Pengine ningeona replayvipi ya saido haikuwa kadi
aingie nani
So far so good naona kwa asilimia fulani wamejifunza kujilinda na hii kipiraHizi kona tusiziendekeze sana, ni lazima tujue kuyaficha madhaifu yetu.
Kibendera kazingua it was not an offence
Sijawahi ona mchezaji kilaza kama sakoILA huyu sako ni mavi kabisa
mbona wameirudia mkuu, jamaa kapiga takoling tokea nyuma na hakufanikiwa gusa mpiraPengine ningeona replay
Niko uwanjanimbona wameirudia mkuu, jamaa kapiga takoling tokea nyuma na hakufanikiwa gusa mpira