Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu waliniuliza kwa wachezaji gani Simba itazifunga Vipers na Horoya. Majibu wanayo. Tukabishane robo fainali.Hapo juu watu wameuliza, Simba atamfunga nani?
Nawajibu, atamfunga Horoya, Vipers mara 2 na droo kwa Raja hukohuko kwao.
Wala haitakuwa maajabu ya dunia.
Mchezo na Raja pia ni makosa na yanarekebisheka vizuri tu.
Ni kweli kiuwezo mchezaji mmojammoja Raja wapi vizuri mno.
Lakini kumbukeni Simba ilifika pia langoni mwa Raja zaidi ya mara tatu.
Tatizo la Simba kama ilivyokuwa kwa hata ligi ya ndani ni kusubiri msitu wa walinzi.
Hata hivyo, hilo linarekebishika kwa zaidi ya asilimia 75 na kwa wachezaji hawahawa mnao waponda.
Enyi wachezaji kama mnasoma hii habari ifanyieni kazi. Ushindi upo.
Kesho Yanga ndio watamkumbuka huyu dogo
Labda umkumbuke wewe kwenye zile 'byuti byuti.'Kesho Yanga ndio watamkumbuka huyu dogo