FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Mechi ya marudiano na Raja, Simba atapigwa kama ngoma. Jana Raja walitaka hata draw tu, watakavyoenda kuwakimbiza, akina Onyango wanaweza goma kurudi uwanjani kupindi cha pili.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Watakutana mechi ya mwisho wakati wameshajihakikishia kuongoza kundi. Sidhani kama watatumia nguvu nyingi sana kutafuta ushindi mnono kwa gharama ya kuumiza wachezaji wao wanaowahitaji zaidi kwenye hatu zinazofuata.
 
Simba huwa tukikutana na timu kubwa kwa mala ya kwanza huwa tunafungwa kizembe sana.
Ref, Kaizer Chief, AS Vita, Al-Ahlly zile 5, 5 na 4, 4.
Tu nashindwa kabisa kuwasona wapinzani wetu. Bechi la ufundi linafeli vibaya sana.

Mechi ngumu zijazo napendekeza kikosi kuanza hiki hapa.

1. Manula
2. Kapombe
3. Shabalala
4. Kennedi
5. Onyango
6. Inonga
7. Phili
8. Kannute
9. Beleke
10. Chama
11. Okra.
Wengine waanzie Sub.

Nimeweka mabeki wote ili kuimariasha ukuta.
Inonga abaki namba 6 ili timu ikishambulia anapanda, ikishambuliwa anarudi kukaba.
 
View attachment 2522038
Mechi za Simba za kufa na kupona hizi ili aweze kufuzu.

Anatakiwa ashinde zote je ataweza?

Hata mechi ya Raja Simba anaweza pata point 1 away. Naamin hadi hiyo game Raja atakuwa ameshafuzu next stage.

Haitakuwa game ya kufa na kupona kwao.

Ukizingatia udugu ambao umeshawekwa [emoji3][emoji3][emoji14] basi Simba anaenda robo fainali.
 
Tanzania waachane kabisa na hawa wachezaji wa kigeni hawana thamani yoyote wanayoiongezea mpira wa Tanzania. Bure kabisa.
 
Kila timu ina kupanda na kushuka. Hebu tueleze Liverpool, Man U, zilizokuwa zinapeleka kipigo kwa kila timu leo wako wapi?

Kweli 2014 Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu, Ramadhani Kiemba, Morris Aggrey, Juma Kaseja & co waliwachapa vibaya Morocco
Tanzanie 3 - 1 Maroc

 
Simba huwa tukikutana na timu kubwa kwa mala ya kwanza huwa tunafungwa kizembe sana.
Ref, Kaizer Chief, AS Vita, Al-Ahlly zile 5, 5 na 4, 4.
Tu nashindwa kabisa kuwasona wapinzani wetu. Bechi la ufundi linafeli vibaya sana.

Mechi ngumu zijazo napendekeza kikosi kuanza hiki hapa.

1. Manula
2. Kapombe
3. Shabalala
4. Kennedi
5. Onyango
6. Inonga
7. Phili
8. Kannute
9. Beleke
10. Chama
11. Okra.
Wengine waanzie Sub.

Nimeweka mabeki wote ili kuimariasha ukuta.
Inonga abaki namba 6 ili timu ikishambulia anapanda, ikishambuliwa anarudi kukaba.
Mbona umewaacha wachezaji mahiri? Boko, kibu D., Muzamiri, sawadogo, hawa hata wakienda Barcelona wanaingia first 11 moja kwa moja
 
Jana baada ya Simba kufungwa na raja kuna mchambuzi mmoja kwenye tivii kanchekesha kasema kwamba Sasa hivi Vipers na Simba kila mmoja anamuna mwenxake ndio kibonde wa kupatia point kwenye hili kundi kwa hiyo hizi timu zikikutana kutakuwa na bonge la dabi.na wanaweza wakabutuana wakatoana nje wenyewe kwa wenyewe.
 
Hapo juu watu wameuliza, Simba atamfunga nani?

Nawajibu, atamfunga Horoya, Vipers mara 2 na droo kwa Raja hukohuko kwao.

Wala haitakuwa maajabu ya dunia.

Mchezo na Raja pia ni makosa na yanarekebisheka vizuri tu.

Ni kweli kiuwezo mchezaji mmojammoja Raja wapi vizuri mno.

Lakini kumbukeni Simba ilifika pia langoni mwa Raja zaidi ya mara tatu.

Tatizo la Simba kama ilivyokuwa kwa hata ligi ya ndani ni kusubiri msitu wa walinzi.

Hata hivyo, hilo linarekebishika kwa zaidi ya asilimia 75 na kwa wachezaji hawahawa mnao waponda.

Enyi wachezaji kama mnasoma hii habari ifanyieni kazi. Ushindi upo.
 
Back
Top Bottom