Mbona kipa analaumiwa?Kwa huu uchezaji,tufungwe hata 5
ambacho hujui yanga tuko wengi hapa makolo wako wa 2 tuTumepigwa cha kwanza...matahira ya Utopolo yatakuja kwa kasi
Salama tu.
Kwa leo hata 3 si mbayaKwa huu uchezaji,tufungwe hata 5
nguvu nyingi akili ndogoJamaa wanacheza kilaini kama wanatumia mikono. Simba wanakuwa wagumuwagumu hawanyumbuki
Mmepigwa Cha nguruweNasikia kelele, tumepigwa huko?
Ngoja niendelee na maswala mengine, nitarudi hapa kuangalia final update.Nasikia kelele, tumepigwa huko?
dk 90 kwa wanao juaMpira dk 90.