Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Inasaidia sana, coz Message sent and delivered[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii inasaidia vipi kusawazisha goli tulilofungwa ?
Sawa ngoja nisevunenejiNi imoji kuonyesha Simba inashinda na njaa
Guvu moya 😀
Namimi namuona mtu kashika kiuno huku kanyofolewa kichwa.Nawaona Mkude na Kibu wanapasha muda huu uwanjani wakati timu zipo kwenye vyumba vya kubadilishia nguoView attachment 2521937View attachment 2521937
Afadhali kipunguze machungu ya hapa Taifa,njoo VIP B hapo utanikutaMi hicho ki avatar chako kinanichekesha hata kama nina hasira....
Bado viwango si vya kuishtua Africa.Hao ni wa NBC PL
Lolote linaweza kutokea kwasababu mpira ni dk 90Hii mechi inaweza kuisha 1-1
Huko wamefanya ngazi tu, hakuna cha maana.Utopolo mkumbuke Simba tupo ligi ya mabingwa, nyie mpo kule kwa losers, mnaonekana mmeridhika sana na kufeli kwenu[emoji1787][emoji1787]
Guvu moya 😀Mtani huu msako goli lipo tena mfungaji ni Baleke.