Unatutisha mkuu,au totoe Timu uwanjani?

Guvu moya πŸ˜€
Nilisema huyo jamaa ni mbaya denooJ akaona ni chai nawatisha sasa katupia na bado kuna mnyama jina lake la ziada anaitwa Abuu Bardizibah (Baba yake na Bardizibah ) hajasafiri na timu kaona hii kwake ni mechi ndogo na nyepesi yeye kucheza atawasubiri Morroco.
 
Tunatakiwa kufungwa magoli 3 zaidi ili tufikie ubovu wa Uto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…