Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ishinde mechi zipi hizo?Ilikuwa ni suala la muda tu.
Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.
Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.
Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.
Ni chizi tu kama wale waliojaa uwanjani na miguo yao kama ya mganga wa kienyeji ndio alieamini makolo leo watashindaSwahiba huyu jamaa kama aliota yaani. 🤣 🤣
Kwani Yanga wameshindaSimba wanaliaibisha taifa bora Yanga
Angelishika zisingeongezeka mbiliILA ALIVOINGIA MKUDE PALE KATI DIMBA AMELISHIKA [emoji1787][emoji1787]
Baada ya kuja mbrazili simba ilianza kucheza kama timu ya mpira ya shule ya kata.Hapo ndio wataamini kuwa njia waliyopita kuingia makundi ilikua imetoboka
Wairudishe timu Kwa MgundaI am not surprised na Matokeo.
Nilishawahi kuandika hapa kuwa tuwape nafasi makocha wa ndani, tuwaamini na tuwajengee uwezo ...... they can make impossible possible.
Hata waarabu makocha wao wengi ni wazawa.
Kocha mzawa ananafasi kubwa ya kujua uwezo sahihi wa wachezaji na kujua namna ya kufanya setting kuliko hawa ngozi nyeupe wanaotulia hela tu.
Mpira ni investment. Wenzetu waarabu wanalijua hilo.
Sisi hapa kwetu usajili ni papatu papatu usio na tija na hata tukisajili tunasajili watu wasio serious. Hii ya leo ni Aibu kama sio Msala.
Tatizo linaanzia kwa kocha , lack of skills ya kufanya setting. Lack of contingency plan for game change kipindi cha pili; that means hata kipindi cha kwanza hakujua ametoa boko wapi na hakukielewa.
Kumfunga SIMBA leo ilikuwa ni sawa na kutoa unywele kwenye maziwa. Tai anatabia ya kumnyanyua mnyama juu kisha anaenda kumla kunako. Huko kunako ni Morocco!
Goli tatu mbele ya mashabiki elf 60!
Nashauri Timu irudi kwa Mgunda, kwakweli hizi rangi nyeupe huwa hawajuagi chemistry ya wachezaji wetu wa Ndani.
Game kama hii Boko Haram anaanzaje? Sakho was supposed to play only 25 na atolewe.
The kocha Robatinyo is good for nothing, and arudi kwao immediately !
The Kama tunategemea kupata matokeo na wachezaji kama Sako, Boko Haram, etc etc ..tutaendelea kuwaona waarabu wakitutia vidole kila siku.
The Game kama hizi ni no show off game ; wachezaji wa Raja wanacheza technically na cautiously na kila hatua yao inamadhara.
Haya Simba ataenda kuliwa vyema huko Morocco.
Poleni wanasimba huu wa leo ni msiba Wenye aibu; makosa makubwa yanaanzia kwenye setting ya Kocha na kujua the right vocabulary in the right place : game change plan pia ikafeli.
Msijali, kesho wana Yanga Wananchi tunafuta huu MSIBA wa kipuuzi.
BandaFumueni kikosi acheni ujinga nyie Viongozi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii game iliisha tangu Caf walipo tukatalia ombi la kucheza saa kumi..
Sasa hap si timu yote ifumuliweBanda
Kibu
Mkude
Kenedi
Sawadogo
Outara
Mwinuka
Bocco
Gadiel
Akpan
Hao waondolewe kwenye kikosi
Manura
MH 15
Onyango
Inonga
Mzamiru
Chama
Hawa wamechoka
Naunga mkono hojaPAKITI IMEKAMILIKA [emoji41]View attachment 2522049
Atashinda dhidi ya nani hizo mechi 3, na kutoa sare 1? Kimahesabu simba inakamilisha tu ratiba. Uwezekano wa kuingia robo fainali, haupo.Ilikuwa ni suala la muda tu.
Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.
Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.
Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.
UnasemaaAlafu hii team ya raja Casablanca inakuzwa kwa sababu imeshinda 5 previously match ila hawana jipya sana hata namungo aliwakaxia sana na walibabaika.
wamemaliza pakiti na wametumia yoteRaja wanasema wamekuja kutalii Ngorongoro wala hawana presha na game. Wana pakiti wamekuja nayo, matumizi yatajulikana baadae.View attachment 2521307
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hizi mechi akashindie wapi, mmebaki na game mbili za nyumbani,, [emoji23][emoji23] kwish habari yenuIlikuwa ni suala la muda tu.
Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.
Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.
Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.