Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili
Rais wa FIFA, Infantino (kulia) ametua Tanzania
Legendari Arsene Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari
Arserne Wenger akiwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa
Your browser is not able to display this video.
Hali ya Uwanja mpaka sasa
UFUNGUZI WA TUKIO UMEANZA RASMI
Kikosi cha Simba kinachoanza
- Mpira umeanza huku timu zote zikisomana na kushambuliana kwa kushtukiza
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri...
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri...
Nina screenshots nyingi mno za hapa Jf na kwengineko kwa madhumuni mbalimbali kujifunza ,kusearch information nk yako nimeitunza kama kichekesho kwa ajili ya kufurahisha maana inanichekesha sana.
Humo zipo nyingi nyingine zina miaka lakini nimehifadhi kutokana na umuhimu wake.
Nina screenshots nyingi mno za hapa Jf na kwengineko kwa madhumuni mbalimbali kujifunza ,kusearch information nk yako nimeitunza kama kichekesho kwa ajili ya kufurahisha maana inanichekesha sana.View attachment 2786839
Humo zipo nyingi nyingine zina miaka lakini nimehifadhi kutokana na umuhimu wake.
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri...