FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Kwa michuano hii nasema na nitasema tena Simba lazima afungwe leo kwa Mkapa na All ahly

Nakazia hivyo kwa sababu wachezaji wa Simba hawana self confidence wanapocheza na timu kubwa kama Al Ahly, yaani Simba inategemea mchezaji moja moja tu kama mungu mtu kwenye kikosi chao

Nisiseme mengi sana maana matokeo tutayaona tu

Nipigwe bani iwapo Simba atashinda leo
 
Watu na roho mbaya zao! Unateseka ukiwa wapi mdau
FB_IMG_1697768364539.jpg
be700e57-0c00-4107-8255-6a6c20b2b6e7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kichaa tu ndiye anayeweza kuamini Simba hii mbovu inaweza kumfunga Al Ahaly na kumtoa.
 
Kwa michuano hii nasema na nitasema tena Simba lazima afungwe leo kwa Mkapa na All ahly

Nakazia hivyo kwa sababu wachezaji wa Simba hawana self confidence wanapocheza na timu kubwa kama Al Ahly, yaani Simba inategemea mchezaji moja moja tu kama mungu mtu kwenye kikosi chao

Nisiseme mengi sana maana matokeo tutayaona tu

Nipigwe bani iwapo Simba atashinda leo
Muwe na akiba ya maneno
 
Ikawa mchana, Ikawa Usiku na hatimaye yametimia.

Leo 20.10.2023

Muda ni Saa 12Jioni kwa saa za Afrika Mashariki pale Benjamin Mkapa Stadium

Kitawaka sana.

Simba vs Al Ahly.

All the Best Mnyama.



#nguvumoja#
 
Back
Top Bottom