Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Simba 2-0 Al ahly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Nilidhani wanaaaa...kumbe wasichanaaaNawatakia Ushindi Mnono Al Ahly ikiwezekana mtu apigwe kama ngoma.
Machungu ya Ihefu bado hayajaishaAah! Lolote baya liwakute.
Tulivyo pamoja kwenye vitu vingine inatosha. Hili la leo ni lenu pambaneni nalo wenyewe. [emoji3]
#PercyTau.
Afadhali umerudi. Teh teh.Machungu ya Ihefu bado hayajaisha
Jaribu yalla live au yaccine tvJaman eti hii gem inawez kuoneshwa kwenye live sream zipi??
Kwani Wydad alishinda.?
Ndio, kule kwao na Makolo wakatolewa kwenye Matuta.Kwani Wydad alishinda.?
Simba Sc haina self-confidence inapocheza na team kubwa.? Ahly sio mara ya kwanza kucheza nayo, tena katika miaka hiihii ambayo yuko on fire, achana na nyinyi mnaotembelea historia za miaka 10 huko.Kwa michuano hii nasema na nitasema tena Simba lazima afungwe leo kwa Mkapa na All ahly
Nakazia hivyo kwa sababu wachezaji wa Simba hawana self confidence wanapocheza na timu kubwa kama Al Ahly, yaani Simba inategemea mchezaji moja moja tu kama mungu mtu kwenye kikosi chao
Nisiseme mengi sana maana matokeo tutayaona tu
Nipigwe bani iwapo Simba atashinda leo
Utakufa.Muue Simba kwa handcap -2 weka laki zima simu lala