Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Utoto raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto raha sana.
uanaume wako upo mashakaniKanyoa za wapi?
Mbona niko nao hapa hapa?uanaume wako upo mashakani
Nenda kwenye site ya FIFA walisema itakuwa live.mwenye link ya hii game
Mpira ukianza ingia Facebook pale kwenye "search" andika Simba vs Al Ahly live kutakuwa live tu nyingimwenye link ya hii game
Naona tozo tu hapo
uyu nuksi,nani kampa jezi avae?
Wimbi la vijana kuharibika linaongezekaMbona niko nao hapa hapa?
Huo ambao uko mashakani sio wangu umejaribu kuulizia vizuri kwa wengine?
Hakuna TV hapo ndio maana Tozo zinaendelea aisee...
Rage kwa hakika hakukusea ,zamani mlikuwa mnashangilia post za CAF kama ubingwa sasa mmehamia FIFA .FIFA wanatutambua kwa ubora wetu
Na nyie mnatambulika ila kwa migogoro ya madeni na wachezaji wenu
View attachment 2787242