adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Ukiwa bingwa lazima ushabikie bingwa mwenzako..Kila la kheri Al ahly timu Bora zaidi barani Afrika [emoji2957] Sisi Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii Mabingwa wa TANZANIA tupo pamoja nanyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa bingwa lazima ushabikie bingwa mwenzako..Kila la kheri Al ahly timu Bora zaidi barani Afrika [emoji2957] Sisi Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii Mabingwa wa TANZANIA tupo pamoja nanyi
Vizuri sana aibu inakuwa Worldwide ..Mechi kubwa kwenye mashirika makubwa ya habariView attachment 2787111
Na suluhu ni mpaka Yanga isiwepoWimbi la vijana kuharibika linaongezeka
Post kama post nyingine kwa reference ipi?Rage kwa hakika hakukusea ,zamani mlikuwa mnashangilia post za CAF kama ubingwa sasa mmehamia FIFA .
Eti ubora wetu wakati hiyo ni post tu kama post nyingine wala haijasema kuhusu ubora ,pamoja na sifa alitoa Rage kuhusu Makolo sifa namba mbili ya Makolo ni ushamba.
Na mpira sio mchezo wa kutoboanaKila la heri mtani ila hamtoboi
Bado hamjasemaNa mpira sio mchezo wa kutoboana
Karia kaenda kupandikiza chuki zake hadi FIFA ndio maana wananchi hatupoYani mtakufa nawaambia...yani sisi tuna rahaaaaaa kabla ya mechi haijalishi matokeo ila ku appear hapa ni booonge la hatua...
View attachment 2787285
Simba 4 Al Ahly 1
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili
View attachment 2787299
Rais wa FIFA ametua Tanzania
Hao majungu fc wataishia majunguni...Karia kaenda kupandikiza chuki zake hadi FIFA ndio maana wananchi hatupo
Nawatakia watani zetu simba ushindi wa 2: 1 AlKila la heri kwa Simba, Kila la heri kwa Tanzania. Nguvu MojaView attachment 2786833
Simba 2:1 AlSimba 4 Al Ahly 1
sasa waliobet total goal over 2.5 itakuweje?Simba 0-2 Al Ahly
Percy Tau.
El sharaty.
Kwamba hawamo uwanjanSimba 4 Al Ahly 1