Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtani Shadeeya karibu unyamaniNimemfuma Shadeeya leo katupia🦁View attachment 2787343
Wameweka utaratibu unaochekewesha watu kuingia ndaniMilango imefunguliwa mapema saa nne asubuhi tena walisema wataifungua yote, ila naona kuna foleni,milangoni hizi foleni za nini?
Yaani wabongo wanapenda magumashi ili mradi wapige hela.
Gamondi na wachezaji wake Mungu awampe nini tena?
Siku chache zijazo Yanga itakipiga na Al-Ahly kwenye uwanja huohuo wa kwa Mkapa kuania kombe la mabingwa. Someni madhaifu na mazuri Yao Leo, kodoeni macho kodo.
Utaratibu wa kijinga sana, kuna namna huwa hatujui kujisimamia kabisa.Milango imefunguliwa mapema saa nne asubuhi tena walisema wataifungua yote, ila naona kuna foleni,milangoni hizi foleni za nini?
Yaani wabongo wanapenda magumashi ili mradi wapige hela.
Mkuu nawe upo humu uwanjani?Utaratibu wa kijinga sana, kuna namna huwa hatujui kujisimamia kabisa.
Yeah, nipo uwanjani hapa.Mkuu nawe upo humu uwanjani?
Tunaua majitu leoTanesco nao wapo Standby wanasubiri mida ifike nao waanze.
Percy Tau anaondoka na mpira mkuu.Simba 0-2 Al Ahly
Percy Tau.
El sharaty.