Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Umeiona wapi? Maana ndio kitu nasuburi hapa, ili nizimie baada ya kuona Bocco kaanza.Superb start lineup.. SIMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeiona wapi? Maana ndio kitu nasuburi hapa, ili nizimie baada ya kuona Bocco kaanza.Superb start lineup.. SIMBA
Wooooiiii. 🤣🤣Nimemfuma Shadeeya leo katupia🦁View attachment 2787343
Kila laheri wawakilishi wa nchi.
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili
View attachment 2787299
Rais wa FIFA Infantino ametua Tanzania
View attachment 2787302
Legendari Arserne Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari
Niliyajua haya.Na WiFi za TTCL walizoziweka zimekuwa kama bosheni tu
Line upUmeiona wapi? Maana ndio kitu nasuburi hapa, ili nizimie baada ya kuona Bocco kaanza.
Serious 😳😳 .... Huyu kocha ni mbwiga kweli kweli.Kikosi cha mzee wa objektivu jiki hapaView attachment 2787380