Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Watakuja kusema si ungeenda uwanjani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu leo anapigwa khamsa 😁Kuna raha bwana katika kuhesabu Kiarabu. Nyie
Wahed
Ethnein
Thalatha
Arba-a
Khamsa
Sitta
Saba-a
Thamanya
Wanataka tuone sura zaoMbona Azam Hawatuoneshi Chochote kinacho Endelea Uwanjani? Kwamba Hamna Chochote kule kinaendelea Siku Ya Ufunguzi?
Angalia ZBCMbona Azam Hawatuoneshi Chochote kinacho Endelea Uwanjani? Kwamba Hamna Chochote kule kinaendelea Siku Ya Ufunguzi?
[emoji23]Hii kitalam tunaiitaje[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2787384
Kikosi sio kibaya
Miyeyusho tu yani TTCL nina bahati mbaya naoNiliyajua haya.
Hivi kiba ameshapiga show ?Kikosi sio kibaya
Daaaah sina imani na Ntibazonkiza.
Miyeyusho tu yani TTCL nina bahati mbaya naoNiliyajua haya.
Kwenye swala la kushikilia bomba sina wasiwasi na huyu kocha.Kocha Anataka Tumiliki mpira na Kujilinda As If Tumejihakikishia Kushinda Misri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Kocha Mashindano ya AFL yanaweza kuwa ya Mwisho Kwake
Eti wanatuonyesha mambo ya nje ya uwanjawashenzi kweli wanazingua kinoma
Nashangaaa hata mimiMbona Azam Hawatuoneshi Chochote kinacho Endelea Uwanjani? Kwamba Hamna Chochote kule kinaendelea Siku Ya Ufunguzi?
K kishenzi hawa Azam yanakera kinoma na suti zao za mkopoMatukio ya muhimu yanaendekea uwanjani wao wanapiga Domo tu washenzi Hawa ! Mwenye namba zao awaambie tumewachoka sasa
Wanataka tuone suti walizovaa.Mbona Azam Hawatuoneshi Chochote kinacho Endelea Uwanjani? Kwamba Hamna Chochote kule kinaendelea Siku Ya Ufunguzi?
Bongo ni uhuni uhun tu.Miyeyusho tu yani TTCL nina bahati mbaya nao