FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Kila la heri wana-Simba.Mechi ni ngumu,fanyeni maajabu,muwafunge hata mojà bila,ili msimuone kocha na baadhi ya wachezaji,wabaya.
 
Jamani mweny Kikosi Kinachochezwa atume
20231020_172745.jpg
 
Saidoo huwa anajitahidi lakini huwa anapoteza ball.. kuwa na chama na saidoo ndani sijawahi kupenda.

Golini ally salim sina imani nae.
Kibu as a striker nimekuwa nikitamani kumuona hapo lakini sio kumjaribu leo(ngoja tuone atafanya nini, shida yake kubwa nguvu nyingi kuliko akili)
 
Furaha yetu ni kubwa sana.

Mioyo yetu inafuraha sana.

Hongera Tanzania.

Hongera Simba.

#Nguvumoja#
 
Mikia mmejificha huku, tayari kuna fungulia mbwa huku😀😀😀
 
Back
Top Bottom