FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
SimbaSC NguvuMoja kila lenye heri chama la wana
 
Halafu kuna watu wanamdharau Karia, ukiachana na mengine mengi jamaa ni moja kati ya viongozi wa TFF ambao chini yake yamefanyika mambo makubwa sana ya kihisitoria kwa upande wa mchezo mpira wa miguu.

Bila kumsahau Mo Dewji, ni wazi kuwa amekuwa ni chachu kubwa ya mabadiliko chanya pale Simba Sc.
 
Weee mbona huyu shabiki wa Yanga anashangilia kuliko sisi?
 
Licha ya kuwa wanacheza nyumbani ila ukijaribu kuchunguza nyuso za wanasimba wote utaona zimepooza.
Wanaonekana wamejaa huzuni na hofu kubwa.

Huku mtaani na vibanda umiza wamekuja kuangalia mpira bila kuvaa jezi zao..

Sijui hali watakayokuwa nayo baada ya dakika 90 kuisha..
Tuwaombee ndugu zetu maana yajayo yanasikitisha zaidi
 
Asante Sana!! Asante sana!!
Asante sana...
 
Umesikia kama mimi.
Au nimesikia vibaya
Gian "simba ngunu moja" hayo ndio maneno alionza nayo raisi wa fifa
Screenshot_20231020_174919_Chrome.jpg
 
Kuna lishabiki la uto kuona masifa Mnyama tunavyokula mashavu duniani kakunja mdomo kama kalambishwa ndimu...
 
Back
Top Bottom