Duh hakuna mabeki naona kuna wasindikizaji tu wa wafungaji upuuuzi huu
 
Zimbwe leo uchochoro attempts mbili za hatari upande wake.
 
Malone na Inonga Hawajielewi Namba wanazo cheza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamemuachia Hussein Apambane na Tau
 
Al Ahly hawana mpira wakutusumbua

Ukishaona wanacheza formation ya kuvizia ujue hapo wanatuogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…