DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Duh hakuna mabeki naona kuna wasindikizaji tu wa wafungaji upuuuzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya dk 90 utakuja na ushuhuda tofautiSimba apa anaendelea kuchokeshwa,atapigwa goli si chini ya tatu
🤣🤣🤣Al Ahly hawana mpira wakutusumbua
Ukishaona wanacheza formation ya kuvizia ujue hapo wanatuogopa
Nipo na wanasimba wenzenu hapa wanahangaika tu...🤣Unateseka ukiwa wapi kijana?