Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Aisee kwa hiki kilichotokea hapa nasikia UEFA wanafanya mpango Simba nayo mwakani iwepoHilo vibe la watu 60K huwa ni SombaSomba, ni lazima usisimkwe tu[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kwa hiki kilichotokea hapa nasikia UEFA wanafanya mpango Simba nayo mwakani iwepoHilo vibe la watu 60K huwa ni SombaSomba, ni lazima usisimkwe tu[emoji23]
Hilo shirika liuzwe tu tena kwa mkopoTanesco tangu asubuhi hatuna umeme, huu ni unyanyasaji wa kisoka
Watu na roho mbaya zaoLicha ya kuwa wanacheza nyumbani ila ukijaribu kuchunguza nyuso za wanasimba wote utaona zimepooza.
Wanaonekana wamejaa huzuni na hofu kubwa.
Huku mtaani na vibanda umiza wamekuja kuangalia mpira bila kuvaa jezi zao..
Sijui hali watakayokuwa nayo baada ya dakika 90 kuisha..
Tuwaombee ndugu zetu maana yajayo yanasikitisha zaidi
Hamna kitu
kwan hivi hazitatumika ten tukiw kweny ligi?VAR iko full, hakuna magoli ya off side kama kwenye ligi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Players wanatakiwa kujitoa kwa damu na jasho, kuipigania badge ya Simba Sc.Aisee kwa hiki kilichotokea hapa nasikia UEFA wanafanya mpango Simba nayo mwakani iwepo
DuhSimba wapo Taifa na kwenye nyumba zao, vibandaumiza wamejaa utopolo hawana TV
siba ndio niniSiba guvu moya
Ni Tukio kubwa na sio la simba bali ni la Nchi nzima. Hata mi ningekuwepo Dar, ningeenda uwanjani mkuu.Nawaona mashabiki kibao wa Utopolo na jezi zao wakila vibe kwa Mkapa ama kweli Maendeleo hayana chama
Yupo kinyonge (anaigiza) kuwapoteza waarabu apige magoliHivi chama leo anaumwa mbona mnyonge sana
Alikiba sio good performer siku zote Ndio Maana mnakosa kuitwa kwenye majukwaa makubwa sio kama mwenzake mondiKwahiyo huyu Kiba ndio kalipwa pesa kuja kufanya hivi? Emu tujaribu kuwa serious kidgo na pesa za watu!! Bibi yangu sio msanii ila anaweza kufanya mara 5 ya alichokifanya Kiba