SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Hali Tete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wanastahili pongezi.Simba wamejitahidi sana mpaka dk 20 jamjapigwq
kama hii faulo aliyochezewa saido angepaswa atoe kadiRefa toa Card ni mara ya tatu hii Kibu anachezewa faulo
Aloo waaarabu wawatu hawaoni magoliiUchawi wa Bongo nimeuelewa...
Na bado...😂Asee hapa tumeyakanyaga
Sasa ulitaka wasimame wakati viti vyekundu vipo? 😁😁😁Simba Tulikuwa Tunajisifu Kujaza Uwanja na Mashabiki Wote Wamekaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sijui wameenda Kufanya nini
Mabeki wanapanda sana, na kwa hizi winger za Al Ahly tutashika sana mioyo aiseeh[emoji1]Dakika 20 Hatutoboi
sisi shangilia yetu ni mpaka tupate goli. Otherwise useless kabisa.Simba Tulikuwa Tunajisifu Kujaza Uwanja na Mashabiki Wote Wamekaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sijui wameenda Kufanya nini