FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Ukweli ni kwamba timu yetu ina matatizo mengi, mara nyingi tunazungumza lakini inaoekana kam haters, mvua inanyesha tunaona matundu sasa.
 
Nina screenshots nyingi mno za hapa Jf na kwengineko kwa madhumuni mbalimbali kujifunza ,kusearch information nk yako nimeitunza kama kichekesho kwa ajili ya kufurahisha maana inanichekesha sana.View attachment 2786839

Humo zipo nyingi nyingine zina miaka lakini nimehifadhi kutokana na umuhimu wake.
Nakazia mapanga mashuka/mapazia ndo mkorea halisi,
 
Back
Top Bottom