Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Timu yangu Al Ahly siwadai 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shida?Ni lazima Bocco acheze kila mechi?
Utopolo mmefurahi sanaHaya makolo Asanteni kwa Ushiriki.
Simba alihitaji ushindi maana ndio muhimu kwakeAl ahly wameshapata goli zake 2 za ugenini katulia, ila Simba sasa anavyokamia 🤣🤣🤣
Lugha imebadilika baada ya kuona Ahly wanapelekewa joto linalowakaHaya makolo Asanteni kwa Ushiriki.
😍😍😍😍😍 Thanks kipenzi. Nilipumzika baada ya kichapo cha Ngao ya Jamii. Ikaja Ihefu 😂😂😂😂😂Baby Girllll....You're missed big time...
Ulikuwa wapi?
Ahsante kipenzi....
Sijui kwanini nimechekaKwahiyo Kibu D na Kanoute Wata Postiwa na FIFA duniani Huku Nzengeli Aki Like
Actually kwa mechi ya ufunguzi kama hii, hata tukilala 3-2 mimi kwangu sio mbaya kabisaSimba alihitaji ushindi maana ndio muhimu kwake