Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacheka lakn unaogopaHaooooooooooooo
Umeona Boli la DP wold na magoli yao hawaumiz kichwa magoli ya kilaiinii [emoji1787]Vyura haooooooooooooo
Mlisema goli 7....
Mnaumia leo kila kitu yanii
Sherehe....
Kujulikana mmebakia na mwiko wenu...
Yanga japo sio timu yangu nawasifu hawana kufa kiume wao wana mentality za timu kubwa ,hata leo icheze na Real Madrid watoke 3 -3 Yanga watalia sana kuona kama hiyo mechi wamepoteza kirahisi.Tutaona game yenu[emoji23][emoji23]
Ana mpira fulani hivi "chips mayai"Huyu Onana muongo muongo sana kama Nape
Karia hakufanya makosa kumpa uraia 😁Historia imeandikwa...
Kibu denis kwa ule mkicwa walai....
Usimkatie mtu tamaaa
Kibu kwa sasa ndo mchezaji wa kuogopwa...
Na atawakandda tena uto trh 26
Siogopi aisee hata tukifungwa now...mimi nachofurahi ni Simba kumfunga mlosema atamuogesha kwa magoliUnacheka lakn unaogopa
unakoswa koswa huko weweeeeHistoria imeandikwa...
Kibu denis kwa ule mkicwa walai....
Usimkatie mtu tamaaa
Kibu kwa sasa ndo mchezaji wa kuogopwa...
Na atawakandda tena uto trh 26
Huwa anaamua sana matokeo ya mechi ngumuNi lazima Bocco acheze kila mechi?