Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nani aliwakataza si mgeweka buku 5 na nyeTicket moja buku tano sasa kwanini watu wasije?
Sometime mnachekesha.
Labda siku ya 13/08 watauza zaidi.Suala la jezi Vunja Bei umezingua. Toka asubuhi ndio naona fan mwenye jezi mpya. Mnamdhulumu M-Bet na mijezi ya SportPesa
Hadi mchana walikuwa wana haha kuuza ticketNdio maana mkaona mfungulie geti [emoji1787][emoji1787]
Kuna aliyewatuma muweke elfu 10 muaibike? Lisiku lenyewe hata vibes ilikua ka mko msibani...Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.
Tulia hapo, shika moyo ulione jitu la Serbia 🦁🦁
Mmetisha wakuu...💪💪💪💪Sisi ndio Baba lao wa Soka Tamu, Sisi ndio Waaanzilishi wa Matamasha ya aina hiii. NJOOOONI TUIJAZE LUPASO pomoniiiii. We are Unstopable
Hawa Simba Queens wangecheza na Utopolo wangetoka draw[emoji13]Simba Queens wanaupiga mpira biriani
Wewe si shabiki wa simbaSimba mnatuumiza mashabiki wenu.
Jezi mbaya na mmeleta pic chache sana.
Halafu mlivyo wajinga mmeleta team wachovu ili mtudanganye ..
Mimi nahama hili li team bora nihamie yanga tu..
Yaani Mchomvu amemheshimishq Prof J mpaka chozi limenitoka. Nahisi huko aliko akiangalia TV hakika kapata nguvu anatamani hata akatue Mkapa awape hi wanasimba wenzake!Namna gani hapa, shout out ya kinyama kwa Prof.Jay [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tamasha lenu kisha mnataka kupata pesa zilize mlizotumia kumsajili Aziz Ki ? Shauri yenuYes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.
Hebu tueleze vipi nyomi sana auuSimba ni Kubwa sana jamani, Uwanja wa Mkapa Hautoshi tena kufanyia SIMBA DAY
Tulia hapo, shika moyo ulione jitu la Serbia 🦁🦁