Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Saa 8 hii mkuu, burudani ni tangu saa 5.Mbona mapema sana kufanya conclusion ya namna hiyo mkuu,, kwani si ndio kwanza burudani imeanza au ulitaka uone nn
Kuwa mpole mkuu, muhimu ni full houseSaa 8 hii mkuu, burudani ni tangu saa 5.
Meja kunta kaja kuimba upuuzi hapo, umemuona??
Jukwaa la hovyo kabisa.
Kwani hili gazeti lako lina uhusiano wowote ule na huu uzi!! 🤔
Hiyo picha ni ya jana wakati wa maandalizi ya mkesha
Kwahiyo akizingua mmoja ndo tamasha zima limeharibika ?Saa 8 hii mkuu, burudani ni tangu saa 5.
Meja kunta kaja kuimba upuuzi hapo, umemuona??
Jukwaa la hovyo kabisa.
Hiyo picha ni ya jana wakati wa maandalizi ya mkesha
Wasanii wetu hawajui vitu vya kuimba kwenye shughuli muhimu na kubwa kama hizi...maneno gani yale alikuwa anaimba halafu mbele ya watoto wa shule anawechezesha hizo nyimbo.Saa 8 hii mkuu, burudani ni tangu saa 5.
Meja kunta kaja kuimba upuuzi hapo, umemuona??
Jukwaa la hovyo kabisa.
Wenzie wamekaa kimya..aache ushabiki maandaziHiyo picha ni ya jana wakati wa maandalizi ya mkesha
Hapa ni second Half ikiwa ni dakika mbili tu tangu mchezo uanzeView attachment 2709990View attachment 2709990View attachment 2709990
kwaniniIla ww kama mwanga 🤣 🤣 🙂 😆