Mhimili uliojichimbia
Senior Member
- Jul 2, 2017
- 172
- 191
Hiyo nitakufundisha stage ya mwisho ya darasa langu, kwa kuwa kabla ya somo la magoli inabidi nikupe shule ya foul nje na ndani ya box na adhabu zakeSasa unataka nikurudishe darasani nikufundishe magoli halali ni yapi? Mbona una kaubishi wewe
WAdogo zangu shida yenu mnapenda kusikiliza maoni ya wanaojiita wachambuzi. Mlivyo na akili ndogo mnapewa na vipicha kadhaa mnababebwa kabisa. Hapo nilichomaanisha niletee video inayoonesha goli la mkono limefungwa sio vipicha vya kipropagandaVipi ulikuwa jela?
Huyu huwezi kumfundisha mkuu.Ni sawa na kufundisha fisi kupanda mti.Kichwa kigumu sijui anavukaje barabara.Hiyo nitakufundisha stage ya mwisho ya darasa langu, kwa kuwa kabla ya somo la magoli inabidi nikupe shule ya foul nje na ndani ya box na adhabu zake
Ushauri wangu umefanyiwa kaziOya hata SGR huwa haikimbii hivyo, kuna sehemu inasimama inapoza injini.
Hizi mbio zako unaweza kujikuta umefika 2025 peke yako.
Sawa ndugu japo sijasema hayo siyaelewi. Since umeonesha nia usiniangusha ukaleta utumbo wa ukoloni nitakutoa baruHiyo nitakufundisha stage ya mwisho ya darasa langu, kwa kuwa kabla ya somo la magoli inabidi nikupe shule ya foul nje na ndani ya box na adhabu zake
Kuhusu kumaliza mechi haraka??Ushauri wangu umefanyiwa kazi
Utopolo ndio mnaumia sana, angalia wenyewe waliofungwaBasi tutoe hilo la mkono. Tuwape nyie
Hili hapaWapi limefungwa la mkono.?
Kweli kabisa aisee....Bila refa kuwa man of the match leo hatutoboi kabisa
Jkt 2
Simba 0
Huyu sio Azizi KiAmekosaaaaaaaa
Dai weweBadala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga
Ila mnategemea magoli ya mkono kama la Baca na offdide kama la Baleke?We kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Harafu nikuchomekee wwView attachment 3184104
Chamsingi chomoa mwiko wako tartibu
Ume-enjoy mpira wa leo?Umeangalia takwimu za mchezo? kipa wa JKT kaokoa michomo mingapi? wewe ni shabiki maandazi
Nyie si mnashinda kwa Mikono sikuhiziWe kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Ila mnategemea mkono siyo?We kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Kama ingekuwa refa hausiki na fair play,why siku hizi mpira ukimgonga refa why anawapa advantage waliokuwa wakiumiliki mpira? Maana zamani ilikuwa hamna.Fair play ni kwa wachezaji, refa Fair play yeye inamhusu nini?
Halafu nyie si ndio mlikuwa mnampigia kelele amalize mechi haraka?
Sasa amemaliza mechi kama mlivyotaka anawahi nyumbani, nyie tena mnaibua vimaneno mnataka akae kae uwanjani.
Kweli huwezi kumfurahisha binadamu.