FT: Simba SC 3-1 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | 12.03.2024

Sio yeye tu, wachezaji wa Simba wana hili tatizo la kulazimisha sehemu isiyofaa kulazimisha kisha mpira unapotea. Anafanya sana Saidoo, Kibu, Onana, Chama japo si mara nyingi, Sasa hivi kaongezeka Fredi.
 
Kwakweli bado tunaleta ujamaa kwa wapinzani kwa kuwaonea huruma, inatakiwa tukifika golini tuoneshe ubepari wa hali ya juu, tuna tabia ya kuridhika mapema
 
Saidoo kapiga upande aliopo kipa na wakati kuna upande upo wazi. Wanamchosha Chama, anafanya kazi kubwa halafu wakumalizia wanakosa.
Simba yetu ni mbovu ila hii singinda ni team mbovu kabsa
 
Sio yeye tu, wachezaji wa Simba wana hili tatizo la kulazimisha sehemu isiyofaa kulazimisha kisha mpira unapotea. Anafanya sana Saidoo, Kibu, Onana, Chama japo si mara nyingi, Sasa hivi kaongezeka Fredi.
Uko sahihi, wanafosi, mwishowe wanaharibu, inawahatibu kisaikolojia. Mwishowe wanajikuta wanachukiwa na mashabiki.
 
Reactions: Tsh
Hakuna mpira wa kufunga kila nafasi...
Alhaly mashindano ya club bingwa group stage kaongoza kwa kukosa clear chances ndo ije kuwa Simba?
 
Duuh ila na ww mbona unawasema sana wachezaji?
Mimi sinaga ushabiki maandazi, mbona simsemi ngoma, tshabalala na wengine, ukweli ni kwamba ngoma na baadhi ya wachezaji wanazingua kwa mazimgira tofauti, kibu nguvu nyingi akili kisoda
 
Wakati nyinyi mnahangaika kulinganisha chama na pacome,
Usikute siku simba anacheza, pacome anakaa na daftari lake kukopi notes kwa chama anaeishia ishia. [emoji1787][emoji23]
Mkuu watu wanaleta ligi tu ila kuna clip niliiona instagram ila sikuidownload, wameunganisha vipande Hersi, Kamwe, Privaldinho na Manara wakiwa wanamsifia Chama katika mazingira tofauti, kwamba ndio mchezaji bora kwenye ligi ya Tanzania kwa misimu yote aliyokuwepo hakuna anayemgusa
 
Mimi sinaga ushabiki maandazi, mbona simsemi ngoma, tshabalala na wengine, ukweli ni kwamba ngoma na baadhi ya wachezaji wanazingua kwa mazimgira tofauti, kibu nguvu nyingi akili kisoda
Ila kuna bad day kwenye kazi..huyu kibu ni msaada siku zingine..yani Simba inaongoza kwa kuwalaumu na kuwasema wachezaji wake..nadhani kama wanasomaga maoni waweza pata depression..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…