Therapist 2015
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 791
- 831
DaaaaahUna lolote mpaka hapa Ntani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaaaahUna lolote mpaka hapa Ntani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Best zile Id zenye kelele kama zimefiwa leo. 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie ndio munajifanya munajua kumbe munaungua na jua.si mnajifanya mnajua
Doooh!! Mnajuaga kujipa moyo.Watalia sasahivi ngoja turudi
🤣🤣🤣 hawakawii kusema kwa Mkapa hakuna Network. 🤣🤣🤣😂😂😂😂zote zimepotea hadi mleta uzi
[emoji80][emoji80][emoji80]wanatia huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zote zimepotea hadi mleta uzi
Ndio mzee baba.mkuu vipi Bado upo montepuez moçambique?
Mwishowe mwamuzi anapuliza kipyenga game over. 🤣🤣🤣🤣Ana
Tulia mtani yaani tatu zako zipo
Doooh!! Mnajuaga kujipa moyo.
Hata ile first round mlisemaga hivi mkapa kuchomoa ni 85mn. 🤣
HatufaiSimba tumnunue Kisinda 😁
Tangu lini nikawaga na nidhamu ya woga, angalia usije ukala Kona wewe tuNakushauri ule Kona kaka
Simba wamepigwa zongo wewe shtuka!😂😂😂Mi nimetoka banda umiza now niko home naskizia earphone tu, ila nahakika hii game simba inakwenda kushinda endapo nidhamu ya wachezaji itarejea
Kwasasa huwezi kupeleka lawama kwa kocha, sometimes unaona kabisa kua wachezaji ndio wanao liwisha. Jaribio la chama linaleta ahueni japo sio formation ya simba kucheza counter attack