FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Manyuklia ya mzee mpili yamefanyakazi

Haya hongereni watani, japo refa nae amewastiri.. Penati 2 za waziwazi,

Ama refa alikuwa anamuogopa mzee mpili asije kumoiga manyuklia... [emoji23]
 
1 Usije mpimia mtu hapa chini ya jua
2 Hakuna anaejua kesho
3 mpira hauna mwenyewe
4 muache kuingia uwanjani na matokeo
5 yanga ni team nzuri labda haina vitu vichache sana
6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
haloo manara ni mimi mwamedi pokea simu"
Screenshot_20210703-203202.jpg
 
Back
Top Bottom