Kama line 1 anasema Gool kick ambaye ndiye anatoa maamuzi mipira ya pembeni wewe Refa hujaona kwanini uamue Kona.Hapana Mkuu, haukutoka wote.
Ova
Huu ushindi simba hawana furaha nao kabisa.
Dakika za nyongeza zinatumika kufidia ule muda ambapo mpira ulisimama.Dakika za nyongeza huwa hazina nyongeza Pimbi wewe.
Njoo tena wee Malaya wa kiume, na ntakutia na dildooo,GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO9OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO DK ZA JIONI .....BALEEKEEEE ANAPATA BAO
Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kip[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]
Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Taabu ipo pale pale
Mkuu Simba imeshinda, kunywa maji baridi ukae chini tuliza akili halafu jiulize malalamiko yako yanasaidia niniKama line 1 anasema Gool kick ambaye ndiye anatoa maamuzi mipira ya pembeni wewe Refa hujaona kwanini uamue Kona.
Line 1 kakimbia mpaka kamaliza Chak, yupo kwenye kibendela unawezaje ku mbishia wewe center refa ree na Ile ni kazi yake.
Basi kuondoa utata kamfate umuulize line wako ndivyo wenzake wanavyo fanya kote.
Tuliaaa weweeee.Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!
Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!
Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabakii kubwekaa na kuhemkwaa.Hawakutegemea, Simba chama kubwa dk za nyongeza zinayoyoma na tunashinda game,hawakutegemea, huko kwenye vibanda umiza walikuwa wanapiga kelele kama kuku wanaoatamia kwamba tumetolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sanaBadooo hujasemaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapa nshavurugwaa balaaa.[emoji23]
Marefa wa huku kwetu hawazingatii,ila baadhi za nchi za ulaya hata extra time ukipoteza mda dk zinahesabiwa ulizopoteza ndo maana siku hizi unaona dk zimeongezwa 5 unashangaa livescore zimefika hata dk 12.Dakika za nyongeza zinatumika kufidia ule muda ambapo mpira ulisimama.
Katika hizo dakika za nyongeza ikitokea scenario yeyote ya mpira kusimama lazima zifidiwe.
Ndio sheria hiyo
Japokuwa sheria hiyo inaweza kuleta matokeo yatayokuumiza lakini ndio imewekwa hivyo.
Hata kama unaona marefa wana ignore hizo moment ambazo mpira ulisimama wakati wa dakika za nyongeza haina maana wapo sahihi.
Ahsaaaanteeeee!!!Hongera sana
Na tumeshindaaa kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba sc akitulia game hii anashinda
Hongereni 😂🤣🤣😁Na tumeshindaaa kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huwaga unajistukiaa weyeee, kwemaa
Wee mataqoooo hayaa njoo neng'enekaaa tenaaa hapaaa.Umbwa nyie huo ndio uwezo wenu
Hata tungewafunga singida goli nyingi wangesema tumebebwa au singida hawana kiwango,hawa hawana akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabakii kubwekaa na kuhemkwaa.
Simba ndo tumeingia final.
Mimi silalamiki ila kunaupotoshaji ulitaka kutokea nikawa na usahihisha.Mkuu Simba imeshinda, kunywa maji baridi ukae chini tuliza akili halafu jiulize malalamiko yako yanasaidia nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee njoo inamaaa nkuswekee na dildo tena ya umeme ikukune vizuriiMbwa nyie,na bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njooo hapaa wee malayaa wa buzaaa.Tayari Simba kesha kamatwa huko, bado kuchinjwa tu wauni wamfanye chapso.
Yajayo yananoga.
Njooo ubwekee nikusikiee tenaaaa.Siyo kwema..tuna ugwadu na mikia