FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Bold 😂.
Amewatanguliza Singida
 
Saidoo ntibanzokiza atokee, huyu babu hana jipyaa kabisaa.
Kwa kifupi kaisha, mweeeeh
 
Hivi kwenye mazoezi SAIDOO ndiye mpigaji mzuri wa faulu..?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yamefungwa bana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Namna Gani pale makolo wanaongoza[emoji23][emoji23]
 
Benchikha unafeli wapi. Baleke siyo mchezaji wa kucheza hii mechi. Unamuacha Chasambi au Mussa unamuweka Baleke. Hawa makocha sometimes sjui huwa wanawaza nini. Msukuma game ishamchanganya yule dogo Kazi ndo anatakiwa acheze na Che Malone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…